Waziri mwanamama wa Kenya ashutumiwa kwa kupenda kuangalia video za ngono ofisini

Cicero umeadimika jamaa, wewe kwa elimu yako ya kusomea Kenya nilikua naona unajadili na Wakenya kwenye level tofauti, mnapelekana humu masuala ya kiuchumi hadi kunakalika, nashangaa baada ya kurudi Bongo umeshushwa hadhi na kuwa mbea mbea kama ndugu zako huko, mambo kama haya ya kufungulia uzi????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…