Waziri Mwanamke Aiba Mme wa Mwingine!!!

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Nimesoma hadithi hii kutoka mojawapo ya magazeti ya udaku ya bwana Shigongo; sina uhakikai kama ina ukweli wowote. Kama ni kweli basi serikali yetu ina miamba kweli kweli kuhusu mambo haya ya ngono: waume kwa wake mtindo mmoja. Watakuwa wanaelewana sana.

 
Magazeti ya shigongo bwana ya ajabu sana sijui huwa anatumia uandishi upi labda kwakuwa kila mtu ni msanii na anaweza kuwa mwandishi vile vile bila kujali taaluma kwanini asieleze kinagaubaga kwa kumtaja na jina na aweke picha kabisa ya huyo waziri...magazeti ya udaku yapo kila sehemu, na pia husaidia kuwafanya watu wajiheshimu...sasa nikosoma hiyo article hapo juu sipati chochote udaku ndani ya udaku....hebu wajifunze kwa wenzao magazeti kama la the sun la UK waliandika udaku na picha, si mnaona walivyo mmaliza Ashley Cole analivyo cheat mkewe Chery?
 
kichuguu mpaka na wewe umeweka udaku wa shigongo hapa, basi mzee naanza kupata wasiwasi na wewe.
 
kichuguu mpaka na wewe umeweka udaku wa shigongo hapa, basi mzee naanza kupata wasiwasi na wewe.

  1. Mwnamama, karibu ukumbini hapa. Naona umejiunga JF ili upate nafasi ya kujibu post hii ambayo ni ya udaku. Hiyo ni hatua nzuri kwa vile siyo tu kuwa umenongeza namba ya wanachama wa JF, bali pia ninategemea kuwa hukuvutiwa na udaku tu bali utaweza kuchangia mada nyingine za maana zaidi ya hizi za udaku.
  2. Nilipoweka hapa kopi ya article hiyo kutoka gazeti la Shigongo, nilitahadharisha wazi kabisa kuwa nimeitoa wapi na sina uhakika kama ni ya kweli. Sababu yangu kuiweka hapa ilikuwa ni kutaka kujua kama udaku huo una ukweli wowote; inawezekana kuna mwanachama wa JF anaielewa stori hii kiundani zaidi. Tumekwisha jionea daku mbalimbali zinakuja thibitishwa kuwa ni za kweli.
  3. Binafsi nimeshakuwa na mashaka sana na credibility ya viongozi wetu wa serikali yetu, ndiyo maana naweza kutafuta zaidi kuhusu daku zozote zinazowahusu kama hizi.
 

Nimeteta mara nyingi jamani bongo tuna ma reporter na sio ma journalist...usiende mbali angalia jurani zetu e.g Kenya.
 
Kama kuna wazinifu ktk Baraza la Mawazir nao hawafai...maana uzinifu kama kama mkikubaliana ni UFISADI kwenda Mbele. Vipi wale waliokubaliana ktk Mikataba FEKI, na UZINIFU ni MKATABA FEKI...WATU wanaoharibu Marriage Institution hawafai hata kupewa UJUMBE wa NYUMBA 2..sembuse madaraka ya nchi...

Mawaziri FISADI ktk UZINIFU WAKIFA NJE ya nchi jambo la kwanza kutafuta vimwana na ndo maana hawataki kusafiri na wake ZAO. WATALETA VISINGIZIO LUKUKI.
 
wana JF tusiwe tuna jump conclusion kwa sababu ya dhana..hakuna specific kuhusu swala hilo besides imetokea kwenye tabloid paper yetu ya bongo kama mjuavyo mara nyingi wanaandika udaku ambazo ni pumba tupu...kama ni kweli where are the names za wahusika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…