Mwangunga ni matunda ya kubebana na kupendeleana katika siasa za nyumbani Tanzania, mara zote ona anavyo jieleza kunapokua na issue za moto. hakika Loliondo mwangunga ni maji mazito , hawezi kuyaoga. Ikulu wanamajibu, huenda Pinda atamuokoa.
Wana JF, kwa sasa wazizi wa uatali Shamsa Mwangunga anajieleza bungeni baada ya mbungu wa Loliondo kuwasilisha hoja yake ya unyanyanyasaji wa wafugaji kule Loliondo - kweli anapumulia mashine kwani yupo out off kabisa anaomba muda uishe ili bunge liaoirishwe.
Mbunge wa wa Loliondo ana hoja 14 ambazo anataka majibu. Waziri hakika anajichanganya sana kiasi kwamba wabunge kuguna.
Ndio huyu mnataka awe mbunge badala ya Keenja haiwezekani uelewa wake ni mdogo sana, kang'anag'ania sana karatasi.
wewe jadili Issues achana na mambo yangu binafsi na utashi wa namna wa kutambulisha na kuweka mbwembwe.kwani ukibadilisha font na color unaumia sana???
Yanakwenda yote yanakwenda pamoja,kipi uelewi????"Ndio huyu mnataka awe mbunge badala ya Keenja ,aiwezekani uelewa wake ni mdogo sana,kanganagania sana karatasi."
sijajua kahoja yako ni kujichanganya kwake au ishu ya ubunge ebu eleza vizuri maana hata wabunge walioko bungeni wako wenye uelewa mdogo na pia kuna mawazili wanajchanganya piaa..!!
wewe jadili Issues achana na mambo yangu binafsi na utashi wa namna wa kutambulisha na kuweka mbwembwe.
wewe jadili Issues achana na mambo yangu binafsi na utashi wa namna wa kutambulisha na kuweka mbwembwe.
Mipaka yako yakufikiri inakutesa kifikra, uhuru wangu wakujieleza na kutoa maoni nautumia vilivyo, bila kuathiri haki yako na ubinadamu wako na wawengine wote.mbwembwe zako zimezidi... nashindwa kusoma unachoandika ... anyway ninajitahidi kusoma though huandiki kitu cha maana.
Hayo ni matunda ya viti maalum ambavyo CCM wanatumia kujaza Bunge kwa kuwagawia rafiki zao wasio na uwezo.
Mipaka yako yakufikiri inakutesa kifikra, uhuru wangu wakujieleza na kutoa maoni nautumia vilivyo, bila kuathiri haki yako na ubinadamu wako na wawengine wote.
Sitoi maoni kwaajili ya kufurahisha hadhira wala nini.
Swala la wewe kutokuona hii font aah ,hilo sijukumu langu naamini natunia namba 3 , hii inatosha sana. kamwone daktari wa macho.