Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mh Waziri Mwigulu Nchi Ina mambo mengi sana yaliyohitaji matumizi sahihi ya Brain.
Katika Utulivu wa Akili na Mwili wako, hivi kweli hata ukikaa unaweza kusema una Kila sababu ya SAINI yako kuonekana kwenye Noti na Watanzania wakasema hakika unastahili?.
Sasa sishangai kwanini ulipaka mawe rangi Tanzania nzima.
Ni Mh Dkt Mpango aliyeamua Kutumia Ubunifu na Akili yake yote Kwa miaka yake yote kiasi kwamba Nchi ikatangazwa kuingizwa kwenye kundi lilee !!.
Ulichokifanya ni Ile Tamaa ya kiwango Cha juuu Kabisa inayopatikana kwenye kitabu Cha ISAYA 14:13
Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
Mh ,Hicho ni kisa cha Shetani kabla hajawa Shetani, alikua ni malaika , Sasa akajiapiza Moyoni mwake kua lazima nivizie Mungu akiwa hayupo, niende juuu nikae kwenye Kiti chake, nichukue Mamlaka yake .
Yaan Tamaa ya Malaika huyu, Licha ya kujua anakitaman Kiti Cha MUUMBA wake alikomaa tu kua ije Mvua, lije Jua, lazima nikitwae kile Kiti.
Soma Pia: Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba
Sasa nawee nasikia ulijiapiza toka uko Kidato Cha pili kua like jua ,ije Mvua lazima SAINI yangu iwe kwenye Hela.🤣
Duuh na kweli umefanikiwa !!.
Waziri Mwigulu , wewe ni wa jina lako labda kuitwa shule, Jiwe la msingi ujenzi wa Ofisi na ya kufanana hayo SIO KUKAA KWENYE HELA Kwa namna yoyote Ile.
Katika Utulivu wa Akili na Mwili wako, hivi kweli hata ukikaa unaweza kusema una Kila sababu ya SAINI yako kuonekana kwenye Noti na Watanzania wakasema hakika unastahili?.
Sasa sishangai kwanini ulipaka mawe rangi Tanzania nzima.
Ni Mh Dkt Mpango aliyeamua Kutumia Ubunifu na Akili yake yote Kwa miaka yake yote kiasi kwamba Nchi ikatangazwa kuingizwa kwenye kundi lilee !!.
Ulichokifanya ni Ile Tamaa ya kiwango Cha juuu Kabisa inayopatikana kwenye kitabu Cha ISAYA 14:13
Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
Mh ,Hicho ni kisa cha Shetani kabla hajawa Shetani, alikua ni malaika , Sasa akajiapiza Moyoni mwake kua lazima nivizie Mungu akiwa hayupo, niende juuu nikae kwenye Kiti chake, nichukue Mamlaka yake .
Yaan Tamaa ya Malaika huyu, Licha ya kujua anakitaman Kiti Cha MUUMBA wake alikomaa tu kua ije Mvua, lije Jua, lazima nikitwae kile Kiti.
Soma Pia: Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba
Sasa nawee nasikia ulijiapiza toka uko Kidato Cha pili kua like jua ,ije Mvua lazima SAINI yangu iwe kwenye Hela.🤣
Duuh na kweli umefanikiwa !!.
Waziri Mwigulu , wewe ni wa jina lako labda kuitwa shule, Jiwe la msingi ujenzi wa Ofisi na ya kufanana hayo SIO KUKAA KWENYE HELA Kwa namna yoyote Ile.