Jana, Machi 13 nilipata wasaa wa kusoma hotuba ya Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mfumo na Ukomo wa Bajeti ya Mwaka 2022/23, na Vipaumbele vya Kibajeti kwa mwaka ujao wa fedha mbele ya Wabunge Jijini Dodoma.
Chini ya Uongozi bora wa Rais Samia Suluhu Hassan, nchi yetu imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha mahitaji ya wananchi yanapewa kipaumbele cha kwanza na kukuza uchumi endelevu.
Tunatarajia kuwa bajeti ya mwaka ujao wa fedha 2023/24, itakuwa takribani Tsh 44.39 trilioni, kwa ajili ya kuendeleza Maendeleo yaliyojikita kwa watu na kukuza uchumi wa Viwanda, ambayo ndio dhima yetu.
Serikali inaendelea kufanya jitihada ili kupata mustakabali bora kwa Watanzania wote.
Tunajitahidi kusaidia na kuweka Mipango ambayo inatanguliza mbele mahitaji ya wananchi wote, kuanzia kwenye miundombinu hadi kuongeza ufikiaji na upatikanaji wa elimu ya viwango na huduma bora za Afya.
Kupitia Uongozi mzuri na mwelekeo sahihi wa Rais Samia Suluhu Hassan, na usimamizi mahiri wa Sera za Uchumi na Fedha, tunaendelea kuunda Tanzania bora, yenye uchumi imara, na inayofaa kwa kila mtu.
Sisi watanzania kwa Umoja wetu, tuendelee kufanya kazi kwa bidii ili kufikia ndoto ya Mheshimiwa Rais.
Kazi Iendelee.
Chini ya Uongozi bora wa Rais Samia Suluhu Hassan, nchi yetu imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha mahitaji ya wananchi yanapewa kipaumbele cha kwanza na kukuza uchumi endelevu.
Tunatarajia kuwa bajeti ya mwaka ujao wa fedha 2023/24, itakuwa takribani Tsh 44.39 trilioni, kwa ajili ya kuendeleza Maendeleo yaliyojikita kwa watu na kukuza uchumi wa Viwanda, ambayo ndio dhima yetu.
Serikali inaendelea kufanya jitihada ili kupata mustakabali bora kwa Watanzania wote.
Tunajitahidi kusaidia na kuweka Mipango ambayo inatanguliza mbele mahitaji ya wananchi wote, kuanzia kwenye miundombinu hadi kuongeza ufikiaji na upatikanaji wa elimu ya viwango na huduma bora za Afya.
Kupitia Uongozi mzuri na mwelekeo sahihi wa Rais Samia Suluhu Hassan, na usimamizi mahiri wa Sera za Uchumi na Fedha, tunaendelea kuunda Tanzania bora, yenye uchumi imara, na inayofaa kwa kila mtu.
Sisi watanzania kwa Umoja wetu, tuendelee kufanya kazi kwa bidii ili kufikia ndoto ya Mheshimiwa Rais.
Kazi Iendelee.