johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa TEHAMA Mh. Nape amewasihi wazazi wa KKKT Kijitonyama, kuwalea watoto wao wenyewe na wasiwaache walelewe na mitandao na teknolojia kwani hali ya kimaadili kwa sasa ni mbaya.
Nape ambaye aliongozana na Waziri wa Fedha Dr Mwigullu Kanisani hapo kwa mchungaji kiongozi Dr Kimaro, amesema yeye kama waziri anajua mitandao ina faida lakini ina hasara kubwa pia. Awali mchungaji Kimaro alisema Nape ni rafiki yake wa muda mrefu na amekuwa akimuombea kwa Mungu wa mbinguni katika mapito yake.
Chanzo: EK tv
Nape ambaye aliongozana na Waziri wa Fedha Dr Mwigullu Kanisani hapo kwa mchungaji kiongozi Dr Kimaro, amesema yeye kama waziri anajua mitandao ina faida lakini ina hasara kubwa pia. Awali mchungaji Kimaro alisema Nape ni rafiki yake wa muda mrefu na amekuwa akimuombea kwa Mungu wa mbinguni katika mapito yake.
Chanzo: EK tv