Waziri Nchemba: Serikali inaimarisha Utaratibu Bandarini ambapo sasa Wafanyabiashara Wataruhusiwa Kutoa Mizigo baada ya Kulipa kodi Isiyobishaniwa

Waziri Nchemba: Serikali inaimarisha Utaratibu Bandarini ambapo sasa Wafanyabiashara Wataruhusiwa Kutoa Mizigo baada ya Kulipa kodi Isiyobishaniwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa Fedha Dr Mwigulu PhD amesema wataweka Utaratibu pale Bandarini ambapo Wafanyabiashara wenye mapingamizi ya Kodi Wataruhusiwa Kutoa Mizigo baada ya Kulipa kodi Isiyobishaniwa.

Mwigulu amesema hatua hii inakusudia kuokoa bidhaa ambazo zinaweza Kuoza wakati wa kusubiri suluhisho la pingamizi.

Source: Eatv
 
Back
Top Bottom