Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Kama alivyoshindwa waziri Makamba kumsaidia rais kwenye suala la umeme na Nchemba umeshindwa vibaya sana kila kukicha vitu vinapanda bei kwa kasi ya ajabu bila wafanyabiashara kukemewa na mtu yoyote.
Kama una mshahara wa chini ya millioni 1 kujenga utakusikia kwenye bomba tu.
Kama una mshahara wa chini ya millioni 1 kujenga utakusikia kwenye bomba tu.