Waziri ndani ya sakata la Muro, ni yupi huyo ?

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Waziri ndani ya sakata la Muro
A complete failed system, how sad ! Kwa habari zaidi bonyeza hapa
http://www.raiamwema.co.tz/news.php?d=2037
 
kazi hipo,"ufisadi" sasa umekuwa tabia ya kawaida na jambo la kawaida kwenye kila kona ya serikali yetu.watu wanafanya ufisadi bila uoga kwa vile wanajua hakuna hatua zozote zitazochukuliwa kwani wachafu wako wengi kama sio wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…