Aisee umenikumbusha William Tuva, Torome Tirike, Mohamed Juma njuguna wa Citizen na Mwala wa KBC radio capital ya kenya ilikua inapiga mziki wenye quality sana (HD) kupata radio ya Tanzania uliyakiwa uwe na AM radio upandishe Antenna juu ya mti Mkubwa sana na hapo unapata RTD, Radio One na free Africa especially usiku ikifika saa moja mawimbi yanapotea unasikia miluzi ila redio za Kenya zilikua zinashika loud and clear FM tuu... Back in our days hatukulalamika maana Kenya was like part of us hata wakamba walikua wanakuja sana kuleta nyanya bamia na vitunguu na wao wanarudi na ndizi kutoka Tz shopping kubwa kubwa unaenda Mombasa so it wasn't a big deal.