Waziri Ndugulile, tunaomba uruhusu akaunti ya PayPal Tanzania

Waziri Ndugulile, tunaomba uruhusu akaunti ya PayPal Tanzania

Baraka21

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
1,262
Reaction score
3,184
Mh. Waziri Ndugulile pamoja na Benki Kuu ya Tanzania sisi vijana tusio na ajira tunaomba mruhusu account za paypal ziweze kuruhusu kupokea pesa ili tujiajiri na kazi za mitandaoni.

Tunakuomba sana mheshimiwa Waziri utusaidie. Huku mtaani hali ni mbaya sana.

Natanguliza shukrani.
 
Mh. Waziri Ndugulile pamoja na Benki Kuu ya Tanzania sisi vijana tusio na ajira tunaomba mruhusu account za paypal ziweze kuruhusu kupokea pesa ili tujiajiri na kazi za mitandaoni.

Tunakuomba sana mheshimiwa Waziri utusaidie. Huku mtaani hali ni mbaya sana.

Natanguliza shukrani.
Mbona Paypal inafanya kazi hizo hata hapa Tanzania, mimi hufanya sana manunuzi mtandaoni, huwa nanunua sana spare parts za gari yangu kutoka Japan na kwingineko. Tena wakati fulani huwa hela zinarudishwa kwenye account yangu iwapo kuna shida ya kimanunuzi.

Kama huna account fungua, then nenda kwa benk yako jaza form waifungue iweze kufanya transaction za ' to and fro'.

Tatizo la BOT ni kuzuia hizi Visa na Mastercard kufanya Verification iwapo unataka ku convert "Fiat Money kwenda Cryptocurrency kama Bitcoins.

Lakini transaction nyingine zinafanyika.
 
Mbona Paypal inafanya kazi hizo hata hapa Tanzania, mimi hufanya sana manunuzi mtandaoni, huwa nanunua sana spare parts za gari yangu kutoka Japan na kwingineko. Tena wakati fulani huwa hela zinarudishwa kwenye account yangu iwapo kuna shida ya kimanunuzi.
Kama huna account fungua, then nenda kwa benk yako jaza form waifungue iweze kufanya transaction za ' to and fro'.
Tatizo la BOT ni kuzuia hizi Visa na Mastercard kufanya Verification iwapo unataka ku convert "Fiat Money kwenda Cryptocurrency kama Bitcoins.
Lakini transaction nyingine zinafanyika.
unauelewa sema unamix mambo... paypal unaweza toa hela nje, changamoto ya Tanzania huwezi pokea hela. Lets say umefanya services au kuuza vinyago. I'm sure bank zinazojielewa zitaifanyia kazi. Nawaamini FNB, BANC ABC au EQUITY.

Wengine hawa wapo slow
 
unauelewa sema unamix mambo...paypal unaweza toa ela nje..changamoto ya tanzania huwezi pokea ela..lets say umefanya services au kuuza vinyago..Am sure bank zinazojielewa zitaifanyia kazi..Nawaamini FNB,BANC ABC au EQUITY..wengine hawa wapo slow
Upo sahihi mkuu. Yaani kutuma/kununua bidhaa unaweza. Ila kutumiwa/kulipwa fedha kutoka nje haiwezekani.
 
Mbona Paypal inafanya kazi hizo hata hapa Tanzania, mimi hufanya sana manunuzi mtandaoni, huwa nanunua sana spare parts za gari yangu kutoka Japan na kwingineko. Tena wakati fulani huwa hela zinarudishwa kwenye account yangu iwapo kuna shida ya kimanunuzi.
Kama huna account fungua, then nenda kwa benk yako jaza form waifungue iweze kufanya transaction za ' to and fro'.
Tatizo la BOT ni kuzuia hizi Visa na Mastercard kufanya Verification iwapo unataka ku convert "Fiat Money kwenda Cryptocurrency kama Bitcoins.
Lakini transaction nyingine zinafanyika.
Mkuu kufanya manunuzi unaweza ila shida wewe kuuza na kupokea kupitia PAYPAL haiwezekani.
 
Swali, kwani hela lazima ziingizwe kwenye paypal? Mbona mitandao ya simu inapokea pesa kutoka nje ya nchi na pia kuna masta kadi za mitandao ya simu ama hela lazima iingie kwenye paypal?

Yaani kuna uspesheli ngani kwenye hiyo paypal hadi lazima hela zitumwe kupitia huo mtandao wakati naona kuna njia nyingi tu siku hizi za kupokea pesa kutoka nje na kulipia huduma nje.
 
Swali, kwani hela lazima ziingizwe kwenye paypal? Mbona mitandao ya simu inapokea pesa kutoka nje ya nchi na pia kuna masta kadi za mitandao ya simu ama hela lazima iingie kwenye paypal?

Yaani kuna uspesheli ngani kwenye hiyo paypal hadi lazima hela zitumwe kupitia huo mtandao wakati naona kuna njia nyingi tu siku hizi za kupokea pesa kutoka nje na kulipia huduma nje.
Kazi nyingi za mitandaoni malipo yake yanalipwa kwa PAYPAL ndio makampuni mengi sana ya nje yanatumia huo utaratibu.
Nadhani hii njia salama ya uhakika na isiyo na usumbufu kwa mlipaji na mlipwaji.
 
Mh. Waziri Ndugulile pamoja na Benki Kuu ya Tanzania sisi vijana tusio na ajira tunaomba mruhusu account za paypal ziweze kuruhusu kupokea pesa ili tujiajiri na kazi za mitandaoni.

Tunakuomba sana mheshimiwa Waziri utusaidie. Huku mtaani hali ni mbaya sana.

Natanguliza shukrani.

Sio tu naomba, TUNATAKA. Ushamba wao/ lack of exposure Isiwe gharama kwa mtanzania
 
Back
Top Bottom