Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameshuhudia mchezo wa Ligi ya Kikapu kwa vilabu vya Afrika Kundi C, ambapo Timu ya Pazi kutoka Tanzania imeibuka na ushindi wa Vikapu 78 dhidi ya 65 vya Timu ya Elan Cotton ya nchini Benin.
Mchezo huo umechezwa Oktoba 19, 2023 katika viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika Jijini Dar es Salam.
Kundi C linaundwa pia na timu ya Dymano kutoka Burundi na KPA kutoka Kenya.
Mchezo huo umechezwa Oktoba 19, 2023 katika viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika Jijini Dar es Salam.
Kundi C linaundwa pia na timu ya Dymano kutoka Burundi na KPA kutoka Kenya.