LGE2024 Waziri Ndumbaro atumia bajaji kuhimiza wananchi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura Songea

LGE2024 Waziri Ndumbaro atumia bajaji kuhimiza wananchi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura Songea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Screenshot 2024-10-16 at 15-23-42 Wizara ya Sanaa(MCAS) (@wizara_sanaatz) • Instagram photos a...png

Waziri wa Utamaduni, Sanaa, na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Oktoba 15, 2024 Manispaa ya Songea ameendelea na zoezi la kuhamasisha wananchi wa manispaa hiyo kujitokeza kwa wingi katika vituo vya uandikishaji kwenye daftari la wapiga kura wa uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024.

Screenshot 2024-10-16 at 15-25-21 Wizara ya Sanaa(MCAS) (@wizara_sanaatz) • Instagram photos a...png

Katika hamasa hiyo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ametumia usafiri wa Bajaji kupita katika mitaa mbalimabli ya manispaa hiyo kuhamasisha wananchi hao huku akiwaeleza umuhimu wa kujiandikisha.

Screenshot 2024-10-16 at 15-26-02 Wizara ya Sanaa(MCAS) (@wizara_sanaatz) • Instagram photos a...png

Aidha, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekagua maendeleo ya uandikishaji katika vituo vya uandikishaji ikiwemo, Mashujaa, Ruvuma na Mateka ambapo amesema kuwa zoezi hilo linaendelea vizuri.

Screenshot 2024-10-16 at 15-25-34 Wizara ya Sanaa(MCAS) (@wizara_sanaatz) • Instagram photos a...png

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
The comical Ndumbaro.Angeelekeza tu kwenye simu zetu tu-download application yake ya vichekesho.
 
Back
Top Bottom