Waziri Ole Medeye azua kizaazaa Mahafali kidato cha 6 Maria Goreti

Waziri Ole Medeye azua kizaazaa Mahafali kidato cha 6 Maria Goreti

Wimana

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
2,449
Reaction score
718
Ktk tukio linaloendelea wakti huu la kuwaaga wahitimu wa kidato cha sita, Naibu Waziri wa Ardhi , Ole Medeye amejikuta kwenye wakati mgumu pale wageni na wazazi walipoanza kuguna na kumpigia makelele ya kupinga alichokuwa anaeleza.
Ole Medeye alikuwa akijibu hoja za Mkuu wa Shule ambaye aliomba kuwa kuwe na Sera ya Elimu ya Taifa badala ya kila Chama kuja na na kutekeleza Sera yakeu ya Elimu iliyopo kwenye Ilani yake ya utchaguzi.
Pia Mkuu wa shule alimtaka Ole Medeye kumpelekea ombi Spika wa Bunge kutoa nafasi sawa kwa Wabunge wote bila kutazama Vyama wanatoka Chama gani.
Ole Medeye alihidi kufikisha ujumbe kwa Spika.
 
Kimbembe kilikuja pale aliposema kuwa Bungeni kuna usawa tofauti na sisi tujuavyo na miguno na kelele zilipoanza. Alidai kuwa hoja ya Elimu ya Mh Mbatia ilipewa muda wa kutosha na kuwa Kamati ya Bunge akiwamoi Mbatia walithibitisha kuwa kuna Mitaala ya Elimu.
Mbunge Selemani Zedi wa Bukene aliungana na hoja ya Mkuu wa Shule kuhusu Wabunge kujadili hoja kwa maslahi ya Taifa. Mh Zedi alisema ana mtoto wake shuleni hapa aitwae Mwajuma na kuahidi sh laki tano kuchangia ujenzi wa bweni la wavulana.
 
Viboko vinahitajika dhidi ya wabunge mzigo wa ccm!
 
Back
Top Bottom