Pre GE2025 Waziri Shaaban Othman ampa kijana wa kundi maalum Tsh. Milioni 1 na kiti mwendo ili aweze kujikimu kimaisha

Pre GE2025 Waziri Shaaban Othman ampa kijana wa kundi maalum Tsh. Milioni 1 na kiti mwendo ili aweze kujikimu kimaisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Ni mwendo wa kusafisha njia tu sasa hivi ili 2025 mambo yawe marahisi!

===

1730626618736.png

Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Shaaban Ali Othman ametoa kiasi cha Tsh Milioni moja (1) kwa kijana wa Kundi maalum ambaye alikuwa na uhitaji na Mheshimiwa Waziri kuweza kumsaidia Kiti mwendo pia ili aweze kujikimu katika harakati zake za maisha

Tukio hilo limefanyika katika Kampeni ya 'Mkono kwa Mkono' inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Misali Sunset Beach, Mkoa wa Kusini Pemba, leo Novemba 3, 2024.
 
Wakuu,

Ni mwendo wa kusafisha njia tu sasa hivi ili 2025 mambo yawe marahisi!

===


Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Shaaban Ali Othman ametoa kiasi cha Tsh Milioni moja (1) kwa kijana wa Kundi maalum ambaye alikuwa na uhitaji na Mheshimiwa Waziri kuweza kumsaidia Kiti mwendo pia ili aweze kujikimu katika harakati zake za maisha

Tukio hilo limefanyika katika Kampeni ya 'Mkono kwa Mkono' inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Misali Sunset Beach, Mkoa wa Kusini Pemba, leo Novemba 3, 2024.
Wakuu,

Ni mwendo wa kusafisha njia tu sasa hivi ili 2025 mambo yawe marahisi!

===


Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Shaaban Ali Othman ametoa kiasi cha Tsh Milioni moja (1) kwa kijana wa Kundi maalum ambaye alikuwa na uhitaji na Mheshimiwa Waziri kuweza kumsaidia Kiti mwendo pia ili aweze kujikimu katika harakati zake za maisha

Tukio hilo limefanyika katika Kampeni ya 'Mkono kwa Mkono' inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Misali Sunset Beach, Mkoa wa Kusini Pemba, leo Novemba 3, 2024.
hivi kulikoni hasa hata wachoyo wawe hawapendi mwenye nacho kusaidia wahitaji ?

ndhani furaha ya mchoyo ni kuchoma vitenge na kuwaumiza zaidi wahitaji.

kama Taifa ni lazima kujitolea bila kujibakiza kwa wahitaji mbalimbali pale ambapo Mwenyezi Mungu ametupatia fursa ya kufanya hivyo 🐒
 
Wakuu,

Ni mwendo wa kusafisha njia tu sasa hivi ili 2025 mambo yawe marahisi!

===


Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Shaaban Ali Othman ametoa kiasi cha Tsh Milioni moja (1) kwa kijana wa Kundi maalum ambaye alikuwa na uhitaji na Mheshimiwa Waziri kuweza kumsaidia Kiti mwendo pia ili aweze kujikimu katika harakati zake za maisha

Tukio hilo limefanyika katika Kampeni ya 'Mkono kwa Mkono' inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Misali Sunset Beach, Mkoa wa Kusini Pemba, leo Novemba 3, 2024.
Campaign as usual.
 
Back
Top Bottom