Waziri shukuru kawambwa jiudhuru

kulunalila

Member
Joined
Dec 1, 2011
Posts
43
Reaction score
6
inasikitisha kuona kiongozi mwenye dhamana anakwepa ama kukataa kuwasikiliza wadau wake, kawambwa sikiliza kilio cha wanafunzi wa vyuo vikuu hasa SAUT, naambiwa viongozi wake wamekutafuta sana ofisini unawakwepa,simu hupokei, kwanini sasa? wanajua unajua hawajapata pesa yao ya kujikimu tangu tarehe 3 february, unajua wanakutafuta sababu hata sms wamekutumia na zimekuwa delievered. kuwa mwungwana kama saut na wonekano wako
 
BUBU TANGU LINI AKAONGEA?...the guy is just a stooge!
Kawambwa ni bomu la maangamizi ya Elimu na hajui afanye nini pale wizarani!...mhurumieni bure!
 
Mada nzuri, rekebisha kichwa cha habari badala ya "jiudhuru" ikisomeka "jiuzuru" italeta maana unayokusudia katika uzi wako, la, itapotosha maana/malengo ya mada yako. Ni hayo tu kwa sasa.
 
Hawezi kujiuzuru kwasababu ni mbunge wa Bagamoyo na mjomba wa mkulu.
 
Hana jpya hyo udom ali2jeruh na gvt yke ya kitapel!U nid 2 fait by any means, haki msisubir mwombe mtanymwa, polen xana wafungwa wenzng!Aluta aluta aluta continua!
 
Stammary!! Stammary!! Stammary!! Kigugumiz!! Kigugumiz!! Kigugumiz!! Unadhani nimekua stooge? Hapana nashindwa kulitolea ufafanuzi na Mwafaka 'JANGA HILI LA KITAIFA' Juzi nimeongea vizuri tena wengi wenu mmeniona katika vyombo vya habari juu ya 'Kubadilisha mitaala ya Elimu kama si mfumo wenyewe kwa upana wake'' hivyo sijawa 'BUBU' bali naugua kigugumizi juu ya majibu kuhusu 'MIKOPO Kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu' Mungu wanusuru Wanafunzi hawa wasiivamie wizara kama Wananchi wa Mkoani Ruvuma, maana kati wenye Ualakini katika Utawala wa Serikali ya Nne nami Nilistahiki niwajibike kwa kukosa Utashi wa Kuiongoza Wizara vyema. Nimetoa mikopo kwa watoto wa Vigogo huku watoto wa wakulima wakiondolewa Vyuoni kwa Kukosa uwezo wa kujisomesha,

kwa wakati huohuo mmoja wa maofisa katika Bodi ya mikopo 'AGHUSHI/KUFOJI majina bandia na Kuitia Hasara Serikali kiasi cha 'MILIONI TISINI (90)' ambazo anaendelea Kula kuku na kwa manufaa yake binafsi huku watoto wa ViGoGo wakinufaika na Watoto wa WAKULIMA Wakitaabika!!


Mungu nilisuru Taifa hili na Majanga ambayo yanasababishwa na WA..LA.INZ!... Tusaidie sisi Masikini kuondokana nao. Amina!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…