Waziri Simbachawene aweka Jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jimbo la Musoma Vijijini

Waziri Simbachawene aweka Jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jimbo la Musoma Vijijini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Leo, Jumanne, 1.10.2024, Mhe George Simbachawene, Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, ameweka Jiwe la Msingi wa ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Musoma DC) - Jimbo la Musoma Vijijini​

Hospital hii imeishaanza kutoa Huduma za Afya.

Serikali inafanya uwekezaji mkubwa kwenye Hospitali hii iliyoko kwenye Kitongoji cha Kwikonero, Kijijini Suguti.

Gharama za uwekezaji hadi leo hii ni kama ifuatavyo:

(i) Gharama za ujenzi: Tsh 3.53 bilioni
(ii) Vifaa tiba: zaidi ya Tsh 2.00 bilioni (X-ray, ultrasound, oxygen plant, etc)

SHUKRANI:
CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa imerikodi shukrani kutoka kwa wananchi wa Musoma Vijijini - tafadhali isikilize.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
P. O. Box 6
Musoma

Tarehe:
Jumanne, 1.10.2024
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-10-01 at 21.43.42.mp4
    39.8 MB
Back
Top Bottom