Waziri Simbachawene saidia kadhia hii

Waziri Simbachawene saidia kadhia hii

m2020

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2016
Posts
979
Reaction score
1,353
Kuwa na gari ya pickup Tanzania ni uhalifu why this?

Nimeshuhudia mwenyewe jinsi polisi wanavyosimamisha gari yoyote ya kubeba mzigo barabarani kutoka dar mpaka mwanza inavyosimamishwa na kila askari aliyopo karibu na barabara kana kwamba gari hiyo imeibiwa ama imebeba vitu vya wizi.

Tumesimamishwa zaidi ya Mara 100 barabara nzima kwa kila mahala penye askari polisi na wakisimamisha ni kuomba leseni ya dereva na kuzunguka gari basi.

Mheshimiwa waziri hii si sawa hata kidogo. Lazima kama nchi tuwe na utaratibu unaoeleweka usioleta bughudha kwa watu wetu.

Tuweke utaratibu wa mageti ya kukagua magari na askari wanaoangalia overspending. Kama gari haijatolewa taarifa ya uhalifu na haijafika kwenye barrier ya ukaguzi kwanini kila askari aliyopo karibu na barabara aisimamishe na kukagua kila baada ya km 3?

Tanzania ya viwanda haiwezi kujengwa kwa dhana hii potofu ya usimamizi wa magari na usalama barabarani sana sanaa ni kuwavunja moyo watanzania wawekezaji.

Tujirekebishe.
 
Chadema mnafeli wapi hiyo sio kazi ya waziri mtwangie simu RTO au DTO
 
Chadema mnafeli wapi hiyo sio kazi ya waziri mtwangie simu RTO au DTO
Ina kera sana,hili swala ni la nchi nzima,tunapoteza muda mwingi barabarani bila sababu za msingi. Waziri husika aingilie kati
 
Ina kera sana,hili swala ni la nchi nzima,tunapoteza muda mwingi barabarani bila sababu za msingi. Waziri husika aingilie kati
Muache kubebe wahamiaji haramu na bangi
 
Kuwa na gari ya pickup Tanzania ni uhalifu why this?

Nimeshuhudia mwenyewe jinsi polisi wanavyosimamisha gari yoyote ya kubeba mzigo barabarani kutoka dar mpaka mwanza inavyosimamishwa na kila askari aliyopo karibu na barabara kana kwamba gari hiyo imeibiwa ama imebeba vitu vya wizi.

Tumesimamishwa zaidi ya Mara 100 barabara nzima kwa kila mahala penye askari polisi na wakisimamisha ni kuomba leseni ya dereva na kuzunguka gari basi.

Mheshimiwa waziri hii si sawa hata kidogo. Lazima kama nchi tuwe na utaratibu unaoeleweka usioleta bughudha kwa watu wetu.

Tuweke utaratibu wa mageti ya kukagua magari na askari wanaoangalia overspending. Kama gari haijatolewa taarifa ya uhalifu na haijafika kwenye barrier ya ukaguzi kwanini kila askari aliyopo karibu na barabara aisimamishe na kukagua kila baada ya km 3?

Tanzania ya viwanda haiwezi kujengwa kwa dhana hii potofu ya usimamizi wa magari na usalama barabarani sana sanaa ni kuwavunja moyo watanzania wawekezaji.

Tujirekebishe.
Nakuelewa sana Mkuu, kiukweli wanakera sana saba
 
Chadema mnafeli wapi hiyo sio kazi ya waziri mtwangie simu RTO au DTO
We kiraka iv unafikiri RTO ni Waziri mkuu basi yupo nchi nzima huyo mmoja?

RTO anasimamia wilaya na sio mkoa we kenge!
 
We kiraka iv unafikiri RTO ni Waziri mkuu basi yupo nchi nzima huyo mmoja?

RTO anasimamia wilaya na sio mkoa we kenge!
Kwani hawana kiongozi wako wa nchi nzama au shule za kata imekuharibu akili kenge wewe
 
Back
Top Bottom