Waziri Stergomena Tax msibani kumfariji mbunge Boniventura Kiswaga kufuatia kifo cha Mjukuu wake

Waziri Stergomena Tax msibani kumfariji mbunge Boniventura Kiswaga kufuatia kifo cha Mjukuu wake

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
WAZIRI STERGOMENA TAX MSIBANI KUMFARIJI MBUNGE BONIVENTURA KISWAGA

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), tarehe 1, Julai 2024 ameungana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Magu, Mheshimiwa Boniventura Kiswaga, kumfariji kufuatia kifo cha Mjukuu wake, Kiswaga Philip, aliyefariki tarehe 30, Juni 2024, kwa ajali ya pikipiki eneo la Kisesa, Magu, mkoani Mwanza.

Viongozi kutoka Makao Makuu ya Wilaya ya Magu walioungana na Waziri Tax, kumfariji Mbunge Kiswaga, ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya, Bw. Mohamed Ramadhani na Viongozi wengine waandamizi wa Wilaya.

20240702_070531_InSave_0.jpg
20240702_070531_InSave_2.jpg

20240702_070531_InSave_1.jpg
20240702_070531_InSave_3.jpg
 
Tuna msubiri motoni huku bado yupo kwenye foleni akisubiri kiwanja chake na Hati ya makazi ya kudumu ni wapi
 
Hivi huyu mama huwa ni mtu wa wapi? Maana hilo jina halijakaa kibantu bantu
 
WAZIRI STERGOMENA TAX MSIBANI KUMFARIJI MBUNGE BONIVENTURA KISWAGA

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), tarehe 1, Julai 2024 ameungana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Magu, Mheshimiwa Boniventura Kiswaga, kumfariji kufuatia kifo cha Mjukuu wake, Kiswaga Philip, aliyefariki tarehe 30, Juni 2024, kwa ajali ya pikipiki eneo la Kisesa, Magu, mkoani Mwanza.

Viongozi kutoka Makao Makuu ya Wilaya ya Magu walioungana na Waziri Tax, kumfariji Mbunge Kiswaga, ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya, Bw. Mohamed Ramadhani na Viongozi wengine waandamizi wa Wilaya.
Nasikia anataka Hilo jimbo
 
Back
Top Bottom