DOKEZO Waziri Ulega tunaomba uanze na Barabara zilizofumuliwa bila kukamilishwa hapa Kigamboni

DOKEZO Waziri Ulega tunaomba uanze na Barabara zilizofumuliwa bila kukamilishwa hapa Kigamboni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Scaramanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
490
Reaction score
704
Nichukue fursa hii kwanza kukupongeza kwa kuteuliwa kwako kushika nafasi ya Waziri wa Ujenzi. Ni imani yangu kuwa Mhe. Rais kakuamini katika utendaji wako wa kazi na nina imani kuwa utamsaidia sana kwenye eneo la ujenzi.

Nina kilio changu naomba uanze na kuangalia eneo la Kigamboni. Kuna barabara zilikuwa hazina changamoto sana ila wasiamamizi wa barabara Tanroad waliamua kuzichimbua kwa lengo la kurekebisha ila yapata miezi sasa hakuna chochote kilichofanyika na imekuwa ni kero kwa wenye gari , pikipiki na hata watemeba kwa miguu. Hizi mvua zilizonyesha imekuwa haifai kabisa ni mashimo makubwa .

Sina shaka na nia ya kujenga vizuri ila kinachosikitisha ni miezi sasa na kama kulikuwa hakuna fedha bora wangeacha ilivyokuwa mwanzo. Kipande cha kutoka mzunguko wa Darajani kwenda Kisiwani, karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya Geza, Kibada kote huko njia wamefumua na kuziacha na zimekuwa ni kero mno.
 
Sometimes unabaki unajiuliza, hivi hawa waliopewa dhamana kuongoza vitengo kama Tanroad au Tarura wana akili timamu? Wanachimbua barabara ambayo haina shida yoyote na wanaiacha hivyo hivyo na mshimo karibu miezi miwili kwanini? Kama wanajua hawawezi kutengemeza kwanini wanaichimbua? Kweli kupeana ulaji ndio imefikia hatua hii? Yaani ,mnaharibu barabara makusudi ili mpeane kazi?
 
Nichukue fursa hii kwanza kukupongeza kwa kuteuliwa kwako kushika nafasi ya Waziri wa Ujenzi. Ni imani yangu kuwa Mhe. Rais kakuamini katika utendaji wako wa kazi na nina imani kuwa utamsaidia sana kwenye eneo la ujenzi.

Nina kilio changu naomba uanze na kuangalia eneo la Kigamboni. Kuna barabara zilikuwa hazina changamoto sana ila wasiamamizi wa barabara Tanroad waliamua kuzichimbua kwa lengo la kurekebisha ila yapata miezi sasa hakuna chochote kilichofanyika na imekuwa ni kero kwa wenye gari , pikipiki na hata watemeba kwa miguu. Hizi mvua zilizonyesha imekuwa haifai kabisa ni mashimo makubwa .

Sina shaka na nia ya kujenga vizuri ila kinachosikitisha ni miezi sasa na kama kulikuwa hakuna fedha bora wangeacha ilivyokuwa mwanzo. Kipande cha kutoka mzunguko wa Darajani kwenda Kisiwani, karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya Geza, Kibada kote huko njia wamefumua na kuziacha na zimekuwa ni kero mno.
 
Sometimes unabaki unajiuliza, hivi hawa waliopewa dhamana kuongoza vitengo kama Tanroad au Tarura wana akili timamu? Wanachimbua barabara ambayo haina shida yoyote na wanaiacha hivyo hivyo na mshimo karibu miezi miwili kwanini? Kama wanajua hawawezi kutengemeza kwanini wanaichimbua? Kweli kupeana ulaji ndio imefikia hatua hii? Yaani ,mnaharibu barabara makusudi ili mpeane kazi?
kig 1.jpg
kiga 3.jpg
kiga 4.jpg
kiga 5.jpg
 

Attachments

  • kiga 6.jpg
    kiga 6.jpg
    158.7 KB · Views: 7
njia ya kwenda kimbiji ina matuta ya usalama kila mahali ila dege sijui kwa nn hakuna na ni kuna population na shule shule
 
Huko Daslam hamna Barabara Mbovu..Njoeni Nachingwea Wilaya haijaunganishwa na lami kwenda popote hapa Tunasubiri Mvua zikolee tuwe kisiwani hamna kutoka wilayani na Mabasi yanaacha kuja kabisa ukiwa na gari dogo ndio linakuwa Toy maana halifiki popote.
Waziri Njoo NACHINGWEA UJIONEE MWENYEWE
 
Kigamboni ni kama mtoto yatima,Wilaya imetelekezwa Kwa kila kitu.Wananchi kupitia sekta binafsi wanajitahidi kwelikweli kufanya uwekezaji na maendeleo lakini hawapati support ya srikali,Angalia Tu swala la kivuko,Porojo miaka nenda miaka rudi,
Barabara zilozopo hazifanani na wilaya jirani kabisa na ikulu ya nchi.
Nilitegema iwe wilaya mpya ya mfano lakini mambo ni yaleyale.
 
Na barabara ya Mbeya -Chunya. Siyo barabara ile, tope tupu.
 
Kigamboni ni kama mtoto yatima,Wilaya imetelekezwa Kwa kila kitu.Wananchi kupitia sekta binafsi wanajitahidi kwelikweli kufanya uwekezaji na maendeleo lakini hawapati support ya srikali,Angalia Tu swala la kivuko,Porojo miaka nenda miaka rudi,
Barabara zilozopo hazifanani na wilaya jirani kabisa na ikulu ya nchi.
Nilitegema iwe wilaya mpya ya mfano lakini mambo ni yaleyale.
Ila wahusika inamaana hawajaona au maana kweli Temeke ,hadi Kijichi njia nzuri mno. Na kwanini walichimba na kuziacha hivo maana si kwa tope hilo.
 
Back
Top Bottom