Waziri Ummy Mwalimu kuna Hujuma huku Tamisemi, Tusaidie

Waziri Ummy Mwalimu kuna Hujuma huku Tamisemi, Tusaidie

Coster2

Senior Member
Joined
Apr 28, 2019
Posts
168
Reaction score
217
Mh Waziri Ummy Mwalimu Yapata mwezi na nusu sasa mfumo wa makato ya mishahara ya watumishi wa manispaa ya Ilala na Temeke haifanyi kazi, kiasi kwamba watumishi walio katika hizo manispaa wanaotaka kuchukua mikopo wamekwama yapata mwezi na nusu sasa, tunaambiwa system ya RASSON imeharibika, hivi hakuna watu wa IT wanaoshughulikia hili swala?au ni hujuma za makusudi, na kwanini iwe ni kwenye manispaa hizi mbili tu?na kwanini itokee kipindi hiki tu?mbona haya mambo hayajawahi kutokea kwa takribani miaka 20 sasa? Tunaomba sana mheshimiwa waziri tusaidie kwa hili, mh Rais amekuamini amekupa dhamana kubwa sana, tuna imani utashughulikia hili swala kwa umakini huenda ni hujuma za makusudi kabisa
 
Utasikia wanakanusha hii taarifa kama walivyofanya TRA
 
Swali la kizushi kama mishahara mmepata na mnambiwa lawason inatazo je hiyo paylo ya mwezi husika mnaodai mlikosa huduma waliandaa wapi mpaka mkapata salary
 
Back
Top Bottom