peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mh. Waziri Ummy Mwalimu. Pamoja na jitihada zako za kupambana na tamisemi, ni vema sasa ukapunguza idadi ya idara zilizopo ndani ya Halmashauri na kuongeza vitengo zaidi ilu kupunguza matumizi na kuongeza utendaji. Mfano, kuunganisha idara ya elimu msingi na elimu secondary kuwa idàra moja ya Elimu.
Pili maendeleo ya jamii na afya kuwa idàra moja Ila maendeleo ya jamii iwe kitengo. Idara ya mipango na fedha kuwa moja. Idara ya mipango kuwa kitengo. Pia ukumbuke wakuu wa idara hulipwa mishahara mikubwa bila ufanisi wowote.
Pili maendeleo ya jamii na afya kuwa idàra moja Ila maendeleo ya jamii iwe kitengo. Idara ya mipango na fedha kuwa moja. Idara ya mipango kuwa kitengo. Pia ukumbuke wakuu wa idara hulipwa mishahara mikubwa bila ufanisi wowote.