elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,464
Sijui Huyu Waziri Gwajima huwa ana akili gani!
Unatumia Bilions of Money ili kuja na Sera yaSserikali ya Kujitolea kuwakandamiza Watanzania.
Gwajima ni Mtu mbinafisi sana
Gwajima ni mtu mmoja ambae ana uwezo wa chini sana sijui hata hiyo wizara mpya kama itasimama!
Vijana wanasoma kwa tabu almost Six years in Training hapo labda hajadakwa!
Madaktari na matabibu wanasoma kwa Stress za juu sana basi vijana wanakua wavumilivu Wanapersevere!
Anakuja Huyu mtu aitwae Gwajima analeta sera ya Kujitolea kwa watumishi wa afya!
Na hapo bilions of money zimetumika kutengeneza sera ili vijana wajitolee!
Kwa kweli udaktari umekuwa Siyo Noble profession tena kama inavyotakiwa kuwa!
Sera hii mbovu imefunga kabisa soko la ajira kwa vijana wetu wa kitabibu
Sasa hivi kila tangazo la kazi Profession zingine wanatangaziwa ajira kamili lakini Daktari au Nurse au Pharmacists au Lab scientists nk ambao wote ni watumishi wa afya Vijana wanaambiwa wajitolee
Asee Madaktari wengi vijana wanaofanya kazi kwenye hizi hospitali za Tz ni Maisha Zero zero zero
Mtu unapewa 290k kweli! Hata kuishi tu hiyo pesa haitoshi!
Kama uwezo wenu wa kuajiri ni mdogo ajirini mnaoweza kuwaajiri wengine waacheni siyo kukaa kudhalilisha Hii taaluma!
Mtu ni Daktari halafu check mambo anayowafanyia her fellow doctors.
Gwajima Shame be upon you!
Taasisi binafsi zishapick hii sera na sasa ni mwendo wa Kunyanyasa madaktari tuu nchi hii.
Waziri Ummy na Serikali futeni hii sera ujinga Aliyoiweka huyu Waziri Gwajima.
Pia soma
- Uchambuzi wa sera ya kujitolea katika sekta ya afya
Mwongozo wa Serikali wa kujitolea ni Ujinga ambao kama hautafutwa Gwajima unawajibika moja kwa moja kuwaonea watanzania.
Unatumia Bilions of Money ili kuja na Sera yaSserikali ya Kujitolea kuwakandamiza Watanzania.
Gwajima ni Mtu mbinafisi sana
Gwajima ni mtu mmoja ambae ana uwezo wa chini sana sijui hata hiyo wizara mpya kama itasimama!
Vijana wanasoma kwa tabu almost Six years in Training hapo labda hajadakwa!
Madaktari na matabibu wanasoma kwa Stress za juu sana basi vijana wanakua wavumilivu Wanapersevere!
Anakuja Huyu mtu aitwae Gwajima analeta sera ya Kujitolea kwa watumishi wa afya!
Na hapo bilions of money zimetumika kutengeneza sera ili vijana wajitolee!
Kwa kweli udaktari umekuwa Siyo Noble profession tena kama inavyotakiwa kuwa!
Sera hii mbovu imefunga kabisa soko la ajira kwa vijana wetu wa kitabibu
Sasa hivi kila tangazo la kazi Profession zingine wanatangaziwa ajira kamili lakini Daktari au Nurse au Pharmacists au Lab scientists nk ambao wote ni watumishi wa afya Vijana wanaambiwa wajitolee
Asee Madaktari wengi vijana wanaofanya kazi kwenye hizi hospitali za Tz ni Maisha Zero zero zero
Mtu unapewa 290k kweli! Hata kuishi tu hiyo pesa haitoshi!
Kama uwezo wenu wa kuajiri ni mdogo ajirini mnaoweza kuwaajiri wengine waacheni siyo kukaa kudhalilisha Hii taaluma!
Mtu ni Daktari halafu check mambo anayowafanyia her fellow doctors.
Gwajima Shame be upon you!
Taasisi binafsi zishapick hii sera na sasa ni mwendo wa Kunyanyasa madaktari tuu nchi hii.
Waziri Ummy na Serikali futeni hii sera ujinga Aliyoiweka huyu Waziri Gwajima.
Pia soma
- Uchambuzi wa sera ya kujitolea katika sekta ya afya
Mwongozo wa Serikali wa kujitolea ni Ujinga ambao kama hautafutwa Gwajima unawajibika moja kwa moja kuwaonea watanzania.