Waziri Ummy Mwalimu tusaidie MRI Muhimbili

Waziri Ummy Mwalimu tusaidie MRI Muhimbili

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Juzi ulisema madaktari wanafanya biashara na MRI kwa kuwaelekeza wagonjwa kwenda kwenye hospitali binafis. Bado mchezo huo unaendelea. Leo wagonjwa bado wanaelekezwa huko kwa watu binafi. Chukua hatua.
 
Swali hiyo mashine inafanya kazi???????????????????

Ila bora waache kuwaelekeza pa kupimia...hata kama mashine hazifanyi kazi......ili kukwepa lawama.......
 
Back
Top Bottom