Waziri Ummy Mwalimu tusaidie MRI Muhimbili

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Juzi ulisema madaktari wanafanya biashara na MRI kwa kuwaelekeza wagonjwa kwenda kwenye hospitali binafis. Bado mchezo huo unaendelea. Leo wagonjwa bado wanaelekezwa huko kwa watu binafi. Chukua hatua.
 
Taja jina la Dr tumtumbue nyongo
 
Swali hiyo mashine inafanya kazi???????????????????

Ila bora waache kuwaelekeza pa kupimia...hata kama mashine hazifanyi kazi......ili kukwepa lawama.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…