Kupitia kipindi cha 'Dakika 45' ITV kasikika akisema: @Intern Doctors ni wanafunzi wa mwaka 5 wa udaktari(MD5) na bado wahajawa madaktari. @Chama cha mataktari(MAT) hawapaswi kuwatetea Intern Doctors kwani sio wajibu wao. @Hoja za madaktari waliogoma&MAT hazina msingi wala mwelekeo mwema.