Naona aaibu huyu Ndugu Ponda kuwa mmoja wa waziri wa idara ya afya nchini.
Inakuwaje waziri hajui analolisema? ni uzumbukuku au anatumia dermatomes kufikiria badala ya ubongo?
Ina maana hana washauri?
JK punguza kutuwekea mambumbuu kwenye wizara zako,ahhh