Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona
Waziri Mazrui ana dalili za wazi ikiwemo homa kali na maumivu ya viungo. Amelazimika kupumzika nyumbani kwa kipindi hiki
Wito umetolewa kwa wananchi kupata chanjo ili kujikinga na janga la corona
Waziri Mazrui ana dalili za wazi ikiwemo homa kali na maumivu ya viungo. Amelazimika kupumzika nyumbani kwa kipindi hiki
Wito umetolewa kwa wananchi kupata chanjo ili kujikinga na janga la corona