Kwako WAZIRI wa ARDHI, ndugu Jerry Slaa
Mwaka Jana 2023, miezi ya kukaribia mwisho wa mwaka yalitoka matangazo katika wilaya ya Kigamboni, kuhusu mradi wa viwanja maeneo ya Pemba mnazi.
Masikini mimi nilibahatika kupata fomu ya kiwanja kidogo, kulingana na kipato changu. Kwa bahati nzuri nilifanikiwa kukidhi matakwa ya barua ile, na kumaliza kulipa.
Bahati mbaya mpaka Leo sijui kiwanja kilipo, Wala sijui kinachoendelea. Na sijakabidhiwa hata ya kiwanja mpaka leo.
WAZIRI wa ARDHI sisi watu masikini, tumeona tununue viwanja vilivyopimwa, japo vidogo, je ndio hali hii kwa viwanja hivi.
Tunaomba utusaidie tuonyeshwe maeneo yetu, na tupewe hati zetu
Nawasilisha
Pia soma:Kujua hatma ya wananchi kupewa hati ya viwanja vya mradi wa Tundwi Songani vilivyotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni na Wizara husika
Mwaka Jana 2023, miezi ya kukaribia mwisho wa mwaka yalitoka matangazo katika wilaya ya Kigamboni, kuhusu mradi wa viwanja maeneo ya Pemba mnazi.
Masikini mimi nilibahatika kupata fomu ya kiwanja kidogo, kulingana na kipato changu. Kwa bahati nzuri nilifanikiwa kukidhi matakwa ya barua ile, na kumaliza kulipa.
Bahati mbaya mpaka Leo sijui kiwanja kilipo, Wala sijui kinachoendelea. Na sijakabidhiwa hata ya kiwanja mpaka leo.
WAZIRI wa ARDHI sisi watu masikini, tumeona tununue viwanja vilivyopimwa, japo vidogo, je ndio hali hii kwa viwanja hivi.
Tunaomba utusaidie tuonyeshwe maeneo yetu, na tupewe hati zetu
Nawasilisha