Waziri wa Elimu Adolf Mkenda pole sana Kwa msiba wa mama Yako Mzazi

Waziri wa Elimu Adolf Mkenda pole sana Kwa msiba wa mama Yako Mzazi

milele amina

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
6,045
Reaction score
8,080
Pole sana sana kwa msiba mkubwa.

Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu!

 
Pole yake, na hongera kwa umri mrefu wa mama yake, kwa maana ni furaha kuishi ukimuona mama yako akifika umri Mkubwa
 
Pole mkuu tunaamini utapata nafasi ya kumfikiria Raisi nae umweleze akupe pole zake.
 
Watu wa high class wanapokutwa na misiba wanakua attended na viongozi wa dini wa high position,
Wote hapo ni wanyonyaji wa watu wa chini kwa namna tofauti,
Hypocrisy at it's best level
 
Watu wa high class wanapokutwa na misiba wanakua attended na viongozi wa dini wa high position,
Wote hapo ni wanyonyaji wa watu wa chini kwa namna tofauti,
Hypocrisy at it's best level
Maisha ya sasa wadhifa na kipato vimepewa kipaumbele kuliko utu.
 
Watu wa high class wanapokutwa na misiba wanakua attended na viongozi wa dini wa high position,
Wote hapo ni wanyonyaji wa watu wa chini kwa namna tofauti,
Hypocrisy at it's best level
No way out mkuu msiba sio wa kuuonea wivu kiwango hicho
 
Back
Top Bottom