Waziri wa Elimu fanya ukaguzi shule za serikali na binafsi. Shule ya Msingi Naba Mbezi kwa Msuguri wazazi tunalipishwa 'motisha' ya watumishi

Waziri wa Elimu fanya ukaguzi shule za serikali na binafsi. Shule ya Msingi Naba Mbezi kwa Msuguri wazazi tunalipishwa 'motisha' ya watumishi

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Ili suala la wazazi kulipishwa Motisha kwenda Kwa watumishi haliko SHULE za Umma tu hata shule binafis mfano wake ni Shule ya Msingi Naba iliyoko Mbezi Kwa msuguri Ada darasa la NNE ni Zaidi ya milioni Moja na Laki Saba(above 1.7m)only for standard four Kwa wasio Tumia Schol bus!

Swali hatukatai kulipa ila tujue hiyo motisha ni sh ngap Kwa watumishi wanalipwa au ni Siri Ili hali wazazi ndo tunawalipa?

Je, vigezo gani vyatumika kulipa motisha maana tumezungumza na watumishi wanadai hiyo ni swaga tu hakuna anae lipwaga motisha?

Je, Waziri wa elimu sisi wazazi ni fear tulipe motivational au ni wajibu wa mwajili mwenye shule?
 
Ili suala la wazazi kulipishwa Motisha kwenda Kwa watumishi haliko SHULE za Umma tu hata shule binafis mfano wake ni Shule ya Msingi Naba iliyoko Mbezi Kwa msuguri Ada darasa la NNE ni Zaidi ya milioni Moja na Laki Saba(above 1.7m)only for standard four Kwa wasio Tumia Schol bus!

Swali hatukatai kulipa ila tujue hiyo motisha ni sh ngap Kwa watumishi wanalipwa au ni Siri Ili hali wazazi ndo tunawalipa?
Je vigezo gani vyatumika kulipa motisha maana tumezungumza na watumishi wanadai hiyo ni swaga tu hakuna anae lipwaga motisha.
Je Waziri wa elimu sisi wazazi ni fear tulipe motivational au ni wajibu wa mwajili mwenye shule?
Ukiona elimu ni ghali basi jaribu ujinga.
 
Lipa hiyo 1.7 na ufear wako!

Kama huna hela peleka mwendakulima sm.
 
Umelazimishwa kupeleka mtoto hiyo shule.

Serikali ina shule zake , wewe mwenyewe umeamua kukataa shule za serikali umepeleka mtoto private. Halafu unataka serikali uliyoikataa shule zake ikutetee
 
Back
Top Bottom