Serikali ya ccm imadhihirisha kuwa haina mpango wa kutoa elimu bora na wanafanya hivi kwa sababu wanajua mtaji wao wa kura ni mbumbumbu. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono ccm.
Ccm inahujumu elimu ya tanzania kwa maksudi ili kuzalisha jamii ya wajinga wasiojua kupambanua mambo yenye tija kwa taifa.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums