..vumilia huenda th 21 au kabla kidogo. lakini haipiti x-mas hawajatangaza. Watoto wamefeli sana hadi shule zingine zilikuwa zinapata wanafunzi tisa tu badala ya 100 wanaotakiwa/ Hivyo wameshusha pass mark ili kupata idadi inayotakiwa!!! WAHUSIKA WAMERUDISHWA TENA KAZINI NA WAMEPEWA SIO ZAIDI YA SIKU TATU KUKAMILISHA ZOEZI HILO....