Waziri wa elimu na makamu wake wanafanya nini

sammgeni

Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
50
Reaction score
4
wakati vitu vinaenda kombo na majina kujiunga jkt yanatangazwa tunajiuliza waziri wa elimu anafanya nini mbona kimya ndio kusema haoni kinacho endelea? mikopo watucheleweshee now jkt? waziri kama awezi kazi ajiuzuru
 
Huyu jamaa kinana alimpa miezi sita awe ashajiuzulu, yeye pamoja na naibu wake, labda bado wanahaha kuweka mambo sawa wabakie kwenye ofisi zao ndio maana hili hawalioni
 
Huyu jamaa kinana alimpa miezi sita awe ashajiuzulu, yeye pamoja na naibu wake, labda bado wanahaha kuweka mambo sawa wabakie kwenye ofisi zao ndio maana hili hawalioni

hawawezi kazi wajitoe huu ni ujinga me jeshin siend nw imefika stage yakugoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…