sobber
Member
- Nov 7, 2012
- 17
- 1
Awali mwalimu wa BAGAMOYO SEKONDARI alibakwa na wanafunzi wake, mkawasingizia walimu.
Baadae wanafunzi wanagombana na mkuu wa shule tena mnasingizia waalimu,
1. Ipo laana inawatafuna wakuu na viongozi wa wizara yenu
2. mtawasema na kuwasingizia waalimu na mbivu,mbichi mtazipata
3. wadhalilisheni walimu wa bagamoyo secondary na mtajadhalilisha na ndugu zenu
4. leo mnajua mwalimu aliebakwa alipo? mlichukua hatua kumjali?
5. je nani anajua tatizo la shule hiyo, tatizo ni waalimu? tatizo ni nani?
6. RC unakurupuka, ulichunguza tatizo ni nini? unakimbilia kuwadhalilisha walimu?
7. Nani anakupa jeuri na nguvu za udhalilishaji kwa Walimu wa Bagamoyo?
8. ULIWAPA NYUMBA? unajua wanaoishi nyumba za bagamoyo sekondari? wote sio walimu wa bagamoyo sekondari, unajua?
9. unajua nini kuhusu maisha ya wanajumuiya katika kotaz, nyumba za bagamoyo sekondari?
10. unajua maisha ya walimu wa bagamoyo sekondari? sema unachojua uliambiwa na unaushahidi?
unajua nini?
kuna mpango kundalilisha Rais kwa kuwa shule iko bagamoyo,kwake? na ni shule yenye heshima na ya mfano?
umesaidia nini kabla ya kudhalilisha?
**********
acheni tabia ya kukurupuka
chunguzeni, walimu wasikanyage shule? waondoke? waondoeni muwabakishe DEO na mwenyekiti wanaoishi nyumba za shule bure walimu wakiteseka mjini na wapangaji! wapeni vipindi, mwenyekiti na huyo DEO !
WAZIRI WA ELIMU, RC pwani, DC-BAGAMOYO, Kaeni Tafakarini! msisumbue watu wanashida zao.
Baadae wanafunzi wanagombana na mkuu wa shule tena mnasingizia waalimu,
1. Ipo laana inawatafuna wakuu na viongozi wa wizara yenu
2. mtawasema na kuwasingizia waalimu na mbivu,mbichi mtazipata
3. wadhalilisheni walimu wa bagamoyo secondary na mtajadhalilisha na ndugu zenu
4. leo mnajua mwalimu aliebakwa alipo? mlichukua hatua kumjali?
5. je nani anajua tatizo la shule hiyo, tatizo ni waalimu? tatizo ni nani?
6. RC unakurupuka, ulichunguza tatizo ni nini? unakimbilia kuwadhalilisha walimu?
7. Nani anakupa jeuri na nguvu za udhalilishaji kwa Walimu wa Bagamoyo?
8. ULIWAPA NYUMBA? unajua wanaoishi nyumba za bagamoyo sekondari? wote sio walimu wa bagamoyo sekondari, unajua?
9. unajua nini kuhusu maisha ya wanajumuiya katika kotaz, nyumba za bagamoyo sekondari?
10. unajua maisha ya walimu wa bagamoyo sekondari? sema unachojua uliambiwa na unaushahidi?
unajua nini?
kuna mpango kundalilisha Rais kwa kuwa shule iko bagamoyo,kwake? na ni shule yenye heshima na ya mfano?
umesaidia nini kabla ya kudhalilisha?
**********
acheni tabia ya kukurupuka
chunguzeni, walimu wasikanyage shule? waondoke? waondoeni muwabakishe DEO na mwenyekiti wanaoishi nyumba za shule bure walimu wakiteseka mjini na wapangaji! wapeni vipindi, mwenyekiti na huyo DEO !
WAZIRI WA ELIMU, RC pwani, DC-BAGAMOYO, Kaeni Tafakarini! msisumbue watu wanashida zao.