WAZIRI WA ELIMU- unayajua yanayofanyika CBE- DODOMA?

hizo barua, registration number, namba za mitihani, forms za mahudhurio darasani, forms za kusign coursework zote wanazo pamoja na risiti za ada pia.
na we ni mhusika nn?
 
Nanyi CBE Dom baadhi yenu wameendekeza sana ngono na ulevi.Someni, starehe baadaye
 
na we ni mhusika nn?
mkuu mimi si muhusika, nimepewa full details na vijana hao nilipo kuwa ktk shughul zangu binafsi hapo chuoni isitoshe hawa jamaa niliwaacha chuoni hapo mwaka 2008.
 
mkuu mimi si muhusika, nimepewa full details na vijana hao nilipo kuwa ktk shughul zangu binafsi hapo chuoni isitoshe hawa jamaa niliwaacha chuoni hapo mwaka 2008.
Ungewashauri watafute vyuo kuliko kuendelea kupoteza muda wao. Wamefanya makosa naamini prospectus inaelekeza kila kitu; ni namna gani mtu anaweza kukoma kuwa mwanafunzi.
 
Ungewashauri watafute vyuo kuliko kuendelea kupoteza muda wao. Wamefanya makosa naamini prospectus inaelekeza kila kitu; ni namna gani mtu anaweza kukoma kuwa mwanafunzi.
me mwenyewe nashangaa..m2 ukiisha disco,solution ni kutafuta chuo kingne na kuanza upya,sasa wao wamepoteza mda wao huko bure 2.
 
Ushauri kwa wahusika. Hilo swala ni la ajabu na ukielezea kwa mtu yoyote anayejua sheria za kitaaluma atashangaa sana. kwa kawaida mtu akiwa amedisco hawezi kuendelea na masomo kwa namna yoyote ile. Ukiwa kama mwanafunzi ni vema ukasoma sheria za kitaaluma katika kaozi yako unayoifanya na chuo husika. Ushauri wangu kwenu kama mnapenda kusoma ni kutafuta kozi nyingine kwenye chuo hicho au kingine. Hii inategemea na sifa ulizo nazo katika kupata usajili katika kozi husika.

Kama mtaamua kwenda mbele, kwa hapa namaanisha mahakamani, wote mtapatikana na hatia. mlioendelea kusoma bila kuwa na sifa sitahiki ni kosa (sijui wanasheria wanaliitaje), huyo mkuu wa idara aliyewaruhusu kuijiunga na hiyo program ya jioni naye ana makosa (amefanya vitu ambavyo havipo kweye taaluma yoyote duniani. huwa sheria ni ngumu na inategemea hoja na mtu husika. kama mtaamua kwenda mahakamani mjipange kujibu hoza za kwenu kwamba kwanini mlikuwa mnafanya ufisadi wa elimu.

Nadhani kwa haayo machache mmepata picha na mtachukua hatua.
 
Huyo mkuu wa idara ndiye aliyewaponza, ni bora wangekata rufaa mapema wakajua hatma yao tokea mwanzo! Ila kiukweli management za vyuo vyetu hivi haziko makin kabisa! Mimi naamin katika hili IFM inaongoza! Yaan principal ndo hakuna kitu kabisa....!
 
College of ............... wala sishangai, madent wengi hawana sifa na viongozi wao wa vyuo pia,mi simo huko
 
Mtu unapopata chuo kitu cha kwanza kutafuta ni prospectus na almanac ambazo ni dira zako katika maisha yako yote chuoni,kama huna huwezi kuwa na base ya kuraise arguement mbona wengine tulipewa chuoni S....? wengi wetu wanajua wakishapata admission kinachofuata ni kitabu tu kumbe wanakosea, pole yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…