johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyewe ππPumbavu
Usiandike uongo wewe.Ni mwanamama Tulip Siddiq wa UK
Mlale unono π
Rushwa ni Rushwa tu πΌUsiandike uongo wewe.
Kajiuzulu kwasababu ya uhusiano wake na viongozi wa Bangladesh ambao ni familia yake na sasa wanachunguzwa kwa rushwa huko Bangladeshi.
Haina uhusiano na Rushwa UK
Huko hata wa chini yako wakila rushwa wewe mkubwa outKama Waziri wa Fedha UK anakula rushwa, Je huku kwetu nchi maskini inakuaje sasa...Wanapinga rushwa?