Waziri wa Fedha Kenya athibitisha serikali ya Kenya imefilisika

Waziri wa Fedha Kenya athibitisha serikali ya Kenya imefilisika



MY TAKE; Mungu wasaidie hawa raia wako japo ni wajinga na wanajifanya wajuaji kukuzidi hata wewe uliyewaumba

Yule wetu si alivuka mpaka wa Taveta kuelekea huko kubadilishana uzoefu! Sijui kibuyu chetu cha asali kipoje
 
Yule wetu si alivuka mpaka wa Taveta kuelekea huko kubadilishana uzoefu! Sijui kibuyu chetu cha asali kipoje
Sisi ni donor country hivyo tulienda kupiga hesabu kama wana kopesheka ili tuwa kopeshe majirani
 
Mwenzako ananyolewa wewe za kwako umezitia maji ?

Refer kauli ya Ndugai ; Ingawa alikuwa na mapungufu mengi lakini hata saa mbovu ipo sawa mara mbili kwa siku...
 
Back
Top Bottom