Waziri wa Fedha na Vyeti Vya KuungaUnga

Waziri wa Fedha na Vyeti Vya KuungaUnga

domokaya

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2010
Posts
3,548
Reaction score
1,729
Waziri wetu wa Fedha, Muheshimiwa Saada Mkuya Salumu, Mbunge wa kuteuliwa na Rais alimaliza Elimu ya sekondari mwaka 1993 katika Sekondari ya Hamamni' na akamalizia elimu ya kidato cha sita mwaka 1995. Wale mnaofahamu mfumo wa elimu hasa mfumo wa elimu wakati ule utagundua kuwa muheshimiwa mwaka 1995 alitakiwa ndio awe anatoka kidato cha tano kwenda cha sita kwani mtihani wa kidato cha nne ulikuw uifanyika Novemba, majibu machi au aprili kujiunga kidato cha tano July 1994, kuingia kidato cha sita July 1995, kumaliza kidato cha sita May 1996. Sasa huyu wazir wetu alisoma kidato cha tano na sita kwa mwaka mmoja pale Lumumba? Taarifa zake zapatikana website ya Bunge. Anayemfahamu uzuri atujuze
 
Mi ninafurahishwa na elimu ya kuruka madarasa. Kutoka diploma na kurukia Masters. Hakika Open University wamejidhalilisha sana
 
Siku hizi kila kitu kinaenda kifisadi tu. Nieje kwanza c.v ya ulimbukeni, pili mbunge viti maalumu then waziri kamili tena mwenye dhamana ya pesa?

Namtia shaka kikwete hapa.
 
"every thing is politics even chemist" dr.bana
 
Elimu yake ina utata lakini huo ni uchochoro wa kupiga pesa mana uchaguzi ni 2015. Waziri huyo saada. Naibu mchemba na malima. I can smell somethng fishy here.
 
Siku hizi kila kitu kinaenda kifisadi tu. Nieje kwanza c.v ya ulimbukeni, pili mbunge viti maalumu then waziri kamili tena mwenye dhamana ya pesa?

Namtia shaka kikwete hapa.

kweli wewe ni msema kweli mkuu!
 
Back
Top Bottom