K24 imewasiliana na Soita Shitanda ambaye kadai yuko kakamega na wala haumwi............kenya is very strange..................sijui taarifa zao huwa wanazikagua kivipi.........na ndiyo mara nyingi tunawashauri waandishi na wahariri kukagua vyanzo vya khabaro vyao..........
tutazidi kupashan khabari kama zitakavyokuwa zikijitokeza kama huyo anayesema haumwi ndiye mwenyewe au la........