Waziri wa Maji Aweso, zile Sifa zako za kwa bosi wa DAWASA zilitokana na nini wakati kuna 'madudu' huko kwake?

Waziri wa Maji Aweso, zile Sifa zako za kwa bosi wa DAWASA zilitokana na nini wakati kuna 'madudu' huko kwake?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"DAWASA ilitoza bili za maji kwa wateja 1207 na kukusanya shilingi milioni 755.65 bila kusoma mita za maji kwa matumizi ya maji ya kila mwezi".Ripoti ya CAG-Charles Kichere.

Chanzo: itvtz

Kwa tuliobahatika kuwa na Saikolojia Kali ya Kuzaliwa nayo na ile ya Kufundisha Chuoni tulipoona tu Siku ile ( hivi majuzi ) Waziri wa Maji Mswahili Mswahili, Mpenda Sifa na Kujikpmba kwa Rais Jumaa Aweso alimsifu mpaka hata kutaka Kukufuru Boss wa DAWASA Eng. Cyprian Luhemeja tulijua tu kuwa kuna tatizo mahala tena la 'Upigaji' na huenda hata Waziri nae 'kamegewa: Faida yake.

Waziri Aweso Punguza Kujipendekeza.
 
Ccm wote wanajikomba.
Wanatumia jina la rais kufanyiankazi na kujikomba.
Hawana akili za kujishughulisha badala kila kitu mama mama mama
 
Ccm wote wanajikomba.
Wanatumia jina la rais kufanyiankazi na kujikomba.
Hawana akili za kujishughulisha badala kila kitu mama mama mama
Asante Mkuu umemaliza kila Kitu hapa.
 
Tuma linasumbua atafanyaje sasa
Mnapoandika huwa mnafanya proof reading kabla ya Kutuma ( Kuposti ) ili tusome mlichokiandika? Tuma linasumbua atafanyaje sasa ndiyo Umeandika nini hapa ili ueleweke / tukuelewe?
 
"DAWASA ilitoza bili za maji kwa wateja 1207 na kukusanya shilingi milioni 755.65 bila kusoma mita za maji kwa matumizi ya maji ya kila mwezi".Ripoti ya CAG-Charles Kichere.

Chanzo: itvtz

Kwa tuliobahatika kuwa na Saikolojia Kali ya Kuzaliwa nayo na ile ya Kufundisha Chuoni tulipoona tu Siku ile ( hivi majuzi ) Waziri wa Maji Mswahili Mswahili, Mpenda Sifa na Kujikpmba kwa Rais Jumaa Aweso alimsifu mpaka hata kutaka Kukufuru Boss wa DAWASA Eng. Cyprian Luhemeja tulijua tu kuwa kuna tatizo mahala tena la 'Upigaji' na huenda hata Waziri nae 'kamegewa: Faida yake.

Waziri Aweso Punguza Kujipendekeza.
Jimboni kwake sehemu kubwa maji hakuna, karibu mkoa mzima wa Tanga maji ni tatizo, hasa tembelea wilaya yote ya Handeni na hasahasa Mji unakua kwa Kasi wa KABUKU, watu wanakunywa maji ya visima, lakini yeye kutwa kucha kujisifia kwenye majukwaa,. Sifa ni ugojwa mkubwa sana, Ningekua mini ndio Rais wa Tanzania, mtu wa kwanza wa kumtumbua ningeaza na Huyu
 
Jimboni kwake sehemu kubwa maji hakuna, karibu mkoa mzima wa Tanga maji ni tatizo, hasa tembelea wilaya yote ya Handeni na hasahasa Mji unakua kwa Kasi wa KABUKU, watu wanakunywa maji ya visima, lakini yeye kutwa kucha kujisifia kwenye majukwaa,. Sifa ni ugojwa mkubwa sana, Ningekua mini ndio Rais wa Tanzania, mtu wa kwanza wa kumtumbua ningeaza na Huyu
Hivi handeni shida nn???? Mbona miaka nenda rudi maji shida.
 
Mnapoandika huwa mnafanya proof reading kabla ya Kutuma ( Kuposti ) ili tusome mlichokiandika? Tuma linasumbua atafanyaje sasa ndiyo Umeandika nini hapa ili ueleweke / tukuelewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"DAWASA ilitoza bili za maji kwa wateja 1207 na kukusanya shilingi milioni 755.65 bila kusoma mita za maji kwa matumizi ya maji ya kila mwezi".Ripoti ya CAG-Charles Kichere.

Chanzo: itvtz

Kwa tuliobahatika kuwa na Saikolojia Kali ya Kuzaliwa nayo na ile ya Kufundisha Chuoni tulipoona tu Siku ile ( hivi majuzi ) Waziri wa Maji Mswahili Mswahili, Mpenda Sifa na Kujikpmba kwa Rais Jumaa Aweso alimsifu mpaka hata kutaka Kukufuru Boss wa DAWASA Eng. Cyprian Luhemeja tulijua tu kuwa kuna tatizo mahala tena la 'Upigaji' na huenda hata Waziri nae 'kamegewa: Faida yake.

Waziri Aweso Punguza Kujipendekeza.

aweso anitia kinyaa mpenda sifa sana na anamsifia mama mpaka kichefuchefu
 
Back
Top Bottom