mirindimo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2009 Posts 901 Reaction score 1,742 Dec 8, 2024 #1 Mlisha ambiwa na Bwana Aweso msikate maji weekend. Mmevizia kaenda kuwatafutia fund Korea mnakata maji. Ila Dawasa mna makusudi sana mradi mharibu mipango ya waziri tu.
Mlisha ambiwa na Bwana Aweso msikate maji weekend. Mmevizia kaenda kuwatafutia fund Korea mnakata maji. Ila Dawasa mna makusudi sana mradi mharibu mipango ya waziri tu.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Dec 8, 2024 #2 Wanatuchezea Sana
N ngawia JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 770 Reaction score 794 Dec 8, 2024 #3 Ss wiki ya pili sasa hatujaona mkuu ww unalalamika kukosa maji wkend.
Davidson david JF-Expert Member Joined Jul 26, 2023 Posts 1,029 Reaction score 1,051 Dec 8, 2024 #4 😆
Ndengaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,831 Reaction score 14,259 Dec 8, 2024 #5 Wapi huko nihamie kama maji yamekatika leo tu...huku kimara na Goba hamna maji toka juzi...tunamshukuru Mungu kwa Mvua tumekingamo maji ya Mvua
Wapi huko nihamie kama maji yamekatika leo tu...huku kimara na Goba hamna maji toka juzi...tunamshukuru Mungu kwa Mvua tumekingamo maji ya Mvua
The Worst JF-Expert Member Joined Sep 12, 2021 Posts 6,108 Reaction score 21,140 Dec 8, 2024 #6 Wewe kwenu ndiyo wamekata leo? Huku wamekata inaenda wiki na walipoyafungua waliyafungua saa nane usiku wakafunga saa 12 asubuhi
Wewe kwenu ndiyo wamekata leo? Huku wamekata inaenda wiki na walipoyafungua waliyafungua saa nane usiku wakafunga saa 12 asubuhi