Acha kushauri ujinga wewe. Yaani tupoteze fedha za walipa Kodi kuchunguza nn?Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Wanataka kusifiwa pekeeUkweli uwa unauma
Hatari snNa wahusika walazimishwe wamfufue, eeeh!!
Aje aendeleze zile siasa za kikanda, mauaji, kuteka watu, na kuminya haki za watumishi wa umma.
Mfate chato ukalinde kaburi...
Yaani watuhumiwa wajichunguze? teteteteteteWana haki ya kumuhoji, maana tuhuma zimetolewa kwa Serikali....wasiishie tu kumuhoji bali waanzishe uchunguzi dhidi yake juu ya yote anayosema ametendewa ukweli wale ujulikane..
Yaani watuhumiwa wajichunguze? tetetetetete
Iundwe tume yenye mchanganyiko wa watumishi wa MUNGU wa kweli, wazee wastaafu na asasi za kiraiakwa hiyo leo hii ukiituhumu serikali unafikiri inapaswa kufanya nini...?
Ni kweli kabisa dini na serikali vinajuana na vinalindana sana ndio mana taasisi za kidini hazitozwi kodi..hizo ni kama fadhila..pia wao watu wa dini kazi kubwa ni kushape moyo ya wananchi ili waendelee kua watii wa serikali..ukiona nchi serikali na dini vinakaa meza moja lengo lao hua ni moja tu kulinda maslahi yao.Kwa hyo mjadala wa KATIBA MPYA tunaupotezea kwa matukio ya kubumba na CCM dah?
Wapinzani tusitolewe kwenye reli tafadhari nchi nyinginhuwatumia viongoz wa dini kubadili upepo wa kisiasa
Hawa akina mwingira hawapo pale kidini wapo kimkakati kwa ajil ya dola
Laiti watanzania wangetumia hata 9% ya ubongo wao nadhan tungekuwa mbali Sana
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naona baada ya Sinema ya Kutuhamisha ya akina Polepole, Nnauye na Mzee Bulembo 'Kubuma' sasa Waziri, Serikali na Mfumo ( System ) wameamua waje na hili wakiamini na wakijidanganya kuwa Watanzania wote ni Wapumbavu sana."...ni ajabu kama yote hayo alitendewa na bado hakuwasilisha malalamiko kwenye vyombo vya dola inaleta ukakasi."
"...hivi kweli utendewe yote hayo muda wote huo ndiyo usubiri hasi Krismasi useme?!" Amehoji Simbachawene.
"....kwasababu yupo hapa Dar es Salaam na ametoa tuhuma nzito namna ile namuagiza sasa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam amwite na amuhoji kuhusu tuhuma hizo." Amesema Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Chanzo Millard Ayo.
Simbachawene anapaswa kufahamu kuwa viongozi wa dini na hasa ya kikristo hutoa majumuisho ya yaliyotokea kipindi cha nyuma na kutoa mapendekezo yao ya mwelekeo ambao wanadhani ni sahihi kwa Taifa ili lisiangamie, na kwa kuwa hii ni Krismas ya kwanza tangu serikali ya awamu ya tano kufa hivyo huu ndiyo muda sahihi wa kutema nyongo."...ni ajabu kama yote hayo alitendewa na bado hakuwasilisha malalamiko kwenye vyombo vya dola inaleta ukakasi."
"...hivi kweli utendewe yote hayo muda wote huo ndiyo usubiri hasi Krismasi useme?!" Amehoji Simbachawene.
"....kwasababu yupo hapa Dar es Salaam na ametoa tuhuma nzito namna ile namuagiza sasa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam amwite na amuhoji kuhusu tuhuma hizo." Amesema Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Chanzo Millard Ayo.
Serikali ya kifedhuli na kibabe kama hii iliyopo madarakani haipaswi kuambiwa kiungwana bali kukaripiwa!Ile kauli ya Ikulu inaongozwa na shetani na kiongozi mkuu wa ikulu ni mtoto wa shetani kwakweli sio kauli ya kiungwana hata kidogo. Awajibike kwa kauli hiyo aeleze alimaanisha nini.
Mpaka chozi. Nabii Mwingira hakupaswa kutoa kauli yenye viashiria kama vile alihusika na kumuua Dkt Magufuli. Yaani taasisi ya urais bado inaomboleza tena kwa machungu kiasi hicho yeye anakuja na mambo ambayo hayawapeleki watu mbinguni"...ni ajabu kama yote hayo alitendewa na bado hakuwasilisha malalamiko kwenye vyombo vya dola inaleta ukakasi."
"...hivi kweli utendewe yote hayo muda wote huo ndiyo usubiri hasi Krismasi useme?!" Amehoji Simbachawene.
"....kwasababu yupo hapa Dar es Salaam na ametoa tuhuma nzito namna ile namuagiza sasa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam amwite na amuhoji kuhusu tuhuma hizo." Amesema Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Chanzo Millard Ayo.
Hakuna mwenye akili anayeombeleza kifo cha Shetani, labda nyie mashetani wenzakeMpaka chozi. Nabii Mwingira hakupaswa kutoa kauli yenye viashiria kama vile alihusika na kumuua Dkt Magufuli. Yaani taasisi ya urais bado inaomboleza tena kwa machungu kiasi hicho yeye anakuja na mambo ambayo hayawapeleki watu mbinguni