Kifio cha Magufuli hakihitaji tume ya uchunguzi. Huyo ilikuwa lazima afe kwa namna yeyote ile ili Nchi yetu nzuri itoke mikononi mwa shetani.Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Tuanze Kwanza kuunda tume ya kuchunguza kifo cha Mkapa.Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Wana haki ya kumuhoji, maana tuhuma zimetolewa kwa Serikali....wasiishie tu kumuhoji bali waanzishe uchunguzi dhidi yake juu ya yote anayosema ametendewa ukweli wale ujulikane..
Wapinzani ni wapumbavu sana!Kwa hyo mjadala wa KATIBA MPYA tunaupotezea kwa matukio ya kubumba na CCM dah?
Wapinzani tusitolewe kwenye reli tafadhari nchi nyinginhuwatumia viongoz wa dini kubadili upepo wa kisiasa
Hawa akina mwingira hawapo pale kidini wapo kimkakati kwa ajil ya dola
Laiti watanzania wangetumia hata 9% ya ubongo wao nadhan tungekuwa mbali Sana
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Cheti fake relax.Kifio cha Magufuli hakihitaji tume ya uchunguzi. Huyo ilikuwa lazima afe kwa namna yeyote ile ili Nchi yetu nzuri itoke mikononi mwa shetani.
Labda tuunde tume ya kusherehekea kufa kwa shetani Magufuli
Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Kwamba yeye ni untouchable?Kuna Serikali zaidi ya hiyo ambayo ndo inatuhumiwa kutaka kumpoteza 3 times?
Ninachojua hamna ambacho serikali inaweza kumfanya Nabii Mwingira, wataishia kuhitilafiana na bad consequences zaidi kwa kila ambaye atatia pua sakata hili. Wakati mwingine ni bora kuchutama kuficha nyeti zako.
uchunguzi wa nini. Alikuwa mbishi hadi anaibishia korona, kwamba korona hakuna. Korona nayo ikamjibu. Hapo muuwaji atakaebambwa ni Corona tuu.Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Usifikiri kila anayemponda mungu wenu ni cheti feki!!Cheti fake relax.
Magufuli alikufa km ilivyokufa misukule ya ukoo wako
Huyu waziri mpumbavu sana,angetoa taarifa kwa polisi gani?wakati waliokuwa wanataka kumdhuru wapo ndani ya polisi hiyo hiyo na wengine ni wakubwa wa hao polisi."...ni ajabu kama yote hayo alitendewa na bado hakuwasilisha malalamiko kwenye vyombo vya dola inaleta ukakasi."
"...hivi kweli utendewe yote hayo muda wote huo ndiyo usubiri hasi Krismasi useme?!" Amehoji Simbachawene.
"....kwasababu yupo hapa Dar es Salaam na ametoa tuhuma nzito namna ile namuagiza sasa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam amwite na amuhoji kuhusu tuhuma hizo." Amesema Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Chanzo Millard Ayo.
=====
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameelekeza Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar kumtafuta Askofu Josephat Mwingira na kupata maelezo zaidi, kufuatia tuhuma mbalimbali alizotoa ikiwemo kutishiwa maisha
Amesema, "Ni tuhuma nzito, zinapotolewa na Kiongozi wa Kijamii/Kidini na ambaye ni maarufu na anajulikana tunapata shida kidogo. Kama matukio haya yote ndivyo yalikuwa yanatokea kwanini hatoi taarifa Polisi ili hatua ziweze kuchukuliwa kuwatafuta wahusika"
Ameongeza, "Tamko la Askofu Mwingira mimi nimelisikia kwenye Mitandao. Nimepata 'clip' lakini sijasikia vizuri maana kama haina sauti. Bado tunaendelea kulifuatilia"
Movie za kichina Mbona ziko poa labda tuite bongo movie!Hii movie bora hata za kichina
Kafukue miozo yenuUsifikiri kila anayemponda mungu wenu ni cheti feki!!
Na nita deal na wewe popote kwa namna yeyote ile ya maneno yako machafu.Usifikiri kila anayemponda mungu wenu ni cheti feki!!
Hao polisi walikuwa chini ya nani!? Tuanzie hapoKama matukio haya yote ndivyo yalikuwa yanatokea kwanini hatoi taarifa Polisi ili hatua ziweze kuchukuliwa kuwatafuta wahusika"
Nasi tutafanya hivyo Kwa Hawa wetu.Wameamua kwamba Askofu Mwingira ahojiwe na polisi:
Nabii Mwingira kuhojiwa na Polisi
Yaonyesha Askofu Mwingira kaongea wakubwa wasiyopenda kuyasikia.
Hoja hujibiwa kwa hoja. Hoja haipingwi kwa rungu.
Kauli za maonyo ya Mwingira si ya kwanza:
View attachment 2059385
Vipi kwa Askofu Gwajima mbona waheshimiwa hawa hawakuona umuhimu wake, kuhojiwa na polisi?
Sera zenu hizi za kibaguzi hazisaidii kitu, bali zinazidi kurutubisha chuki.
Tumeyasikia kwa Mzee wa Upako, Askofu Shoo, Askofu Mwingira, na bado:
Maaskofu wataka haki kwa kila mtu
Tunasimama na watumishi hawa wa Mungu:
Haki huinua taifa.
Karibu sana twende kaziNa nita deal na wewe popote kwa namna yeyote ile ya maneno yako machafu.
Huwezi kusema marehemu wa wenzako halafu ya kwako inayooza husemi