Waziri wa Mambo ya Ndani aagiza Polisi Kanda Maalum ya Dar kumsaka na kumhoji Askofu Mwingira

Viongozi wetu bana πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ "kwanini aseme sasaiv alikua wapi muda wote huo ad aseme leo"

Uyo ni waziri πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Kuna Nchi moja hivi....Viongozi wa namna hii wanaitwa "Viongozi wa Matukio" AIBU.
 
Acha kushauri ujinga wewe. Yaani tupoteze fedha za walipa Kodi kuchunguza nn?

..mbona tunapoteza fedha za walipakodi kutenda unyama na kumdhulumu wasio na hatia? Je hiyo ni busara?
 
Anatafuta Kiki tu waliopoteza. Maisha nawengine mpaka leo hawajulikani walipo bado anahisi mwingira ni muongo aanze na hao kwanza
 
Kuna mambo mengi mazito watu wamepitia na wanaendelea kupitia. Nchi isiendelee kutisha waliochoka kukaa kimya, ni wajibu wao kuchunguza na ukweli ujulikane kwa watu wote. Waliohusika wote sheria ichukue mkondo wake
 
ndumilakuwili ni mtu hatari sana watu kama hawa inafaa hata wapotezwe kabisa
 
Ile kauli ya Ikulu inaongozwa na shetani na kiongozi mkuu wa ikulu ni mtoto wa shetani kwakweli sio kauli ya kiungwana hata kidogo. Awajibike kwa kauli hiyo aeleze alimaanisha nini.
Mkuu wa Malaika.Unajua Shetani naye ni malaika?
 
Waziri ni wakala wa ibirisi. Jeshi la polisi linatumika na ibilisi
 
Watu wametekwa na hawajulikani walipo na wengine kujeruhiwa na wengine kuuwawa huyo Simbachawene hajawahi kutamka chochote.! Hovyo kabisa.
 
Ili mgundue nini?
 
'Kama kuna kosa tulilifanya basi ni kutowamaliza Wahuni'-Humphrey
Mhuni Mkuu aliyekuwa anafuga wahuni kama Sabaya Kwa SASA Yuko Jehanamu kwenye Moto wa Milele
Namaanisha Mzee Mwendakuzimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…