Waziri wa Michezo acha kukurupuka

laurent Msembeyu

Senior Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
121
Reaction score
101

Nape Nnauye-Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Mh. Nape Nnauye amesema ataipitia ripoti ya hukumu iliyotolewa kwa waliokutwa na hatia kwenye sakata la upangaji
KICHWA CHA HABARI KINASEMA ETI KWA NINI MKOA MZIMA UAZIBIWE KWA UPUUZI WA WATU WACHACHE?

Mimi ninamjibu huyu wa kukurupuka
Hata FIFA inasaheria kali sana kuhusu haya mambo ya kupanga matokeo
pili huyu waziri aache utamaduni wa Kikwete wa kufanya kazi kwa mazoea, jitahidi kwenda na kasi ya JPM ambae rushwa na kupanga matokeo ni haramu kwake

Mimi nilifikiri waziri huyu atawaongezea adhabu badala ya comment aliyotoa , amabyo imenifanya nimzarau kabisa.

Amesema akirudi atapitia report nzima halafu eti atatoa msimamo wa serikali, akiamua tofauti na maamuzi ya TFF nitamshauri rais Magufuli amfukuze kazi

Mwisho kwenye suala la Tanzania kuondolewa misaada ya MCC mbona Tanzania nzima inaazibiwa kwa upuuzi wa Shein na Jecha? Na hilo nalo aseme.
 
...mwambieni haya mambo ya mpira awaachie wahusika,huo uwaziri wake aupeleke kwenye siasa,ama sivyo....!!!
 
kuna tofauti kati ya mawaziri wa JPM na wale wa Chama. inajidhihirisha!
 
Tatizo wadau wanalalamika kuwa ''Wameadhibiwa waliotekeleza upangaji wa matokeo wakati wapangaji wa matokeo hawakuadhibiwa''
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…