GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilishaanza taratibu kukudharau ila kwa ulichokiongea leo katika hafla ya kuwopongeza Tembo Warriors ndiyo nimeamua kukudharau zaidi na rasmi.
Waziri wa Michezo Mchengerwa ni nani kakudanganya kuwa ipo siku au inawezekana vilabu vya Simba SC na Yanga SC kuungana na kusapotiana hasa pale zinapocheza Michuano ya Kimataifa?
Sasa GENTAMYCINE nakuambia kuwa acha kupoteza muda, mimi kama mwana Simba SC kamwe siwezi kuipenda na kuwapenda Yanga SC na wana Yanga.
Unaacha kuiunganisha Taifa Stars ambayo kutwa inakushinda pamoja na juhudi zako za kinafiki/unafiki unataka kugusa vilabu ambavyo huviwezi na hata huvijui vyema kihistoria?
Wewe ni hasara kubwa kiuwaziri.
Waziri wa Michezo Mchengerwa ni nani kakudanganya kuwa ipo siku au inawezekana vilabu vya Simba SC na Yanga SC kuungana na kusapotiana hasa pale zinapocheza Michuano ya Kimataifa?
Sasa GENTAMYCINE nakuambia kuwa acha kupoteza muda, mimi kama mwana Simba SC kamwe siwezi kuipenda na kuwapenda Yanga SC na wana Yanga.
Unaacha kuiunganisha Taifa Stars ambayo kutwa inakushinda pamoja na juhudi zako za kinafiki/unafiki unataka kugusa vilabu ambavyo huviwezi na hata huvijui vyema kihistoria?
Wewe ni hasara kubwa kiuwaziri.