GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
goli la pili la boli zozo linaingia nyavuni jamaa wanaimba uzalendo umetushinda, kila mara wanashinda airport kupokea wapinzani wa simba kina mwakalebela wanshinda nao hotelini na kuwaambia wasiingie vyumbani kumepuliziwa sumu HALAFU LEO ETI ANATOKEA MTU ANATOA AMRI KUSHIRIKIANA NAO, HATUTAKI SASAUzalendo ulishauliwa na Gongowazi mwaka 1993 kwenye fainali ya CAF Simba SC dhidi ya Stella Abijan na ukaja kuzikwa rasmi na hao hao tena kwa kuwapokea wageni Airport
Leo hii ndo mnaona madhara ya hii dhambi siyo..! Uzalendo utabaki kwenye National Team.
Hii haitakuja kukaa sawa kwasababu sumu ilishapandwa kitambo na mpaka sasa ni mwendelezo tugoli la pili la boli zozo linaingia nyavuni jamaa wanaimba uzalendo umetushinda, kila mara wanashinda airport kupokea wapinzani wa simba kina mwakalebela wanshinda nao hotelini na kuwaambia wasiingie vyumbani kumepuliziwa sumu HALAFU LEO ETI ANATOKEA MTU ANATOA AMRI KUSHIRIKIANA NAO, HATUTAKI SASA
Na arusha walimpiga shabiki wa coastal union aliyevaa jezi ya simba mpaka akapoteza uhai hakuna uongozi wala mchezaji aliyeomba msamaha yaani mi siwezi kushabikia yanga hapa naulizia utaratibu wa kwenda Sudan.Wale wajinga sitaisahau siku waliyompiga shabiki wa Simba SC pele Taifa wakamchania jezi yake vipande vipande kama kibaka