Watu wanapenda sana mchezo wa ngumi ila sasa ufadhili na misaada ya kitaalamu hamna ona hawa wanavyotia huruma.Mchezo wanaupenda lakini ndio hivyo tena
Huyu wa sasa atawauliza kwanini mnapigana? Mkimwambia tunagombea mkanda, atawaambia hiyo siyo sababu ya msingi. Yaani mkanda tu ndio mpigane? Kwanini kila bondia asipewe wa kwake?