Waziri wa Nishati January Makamba afanya historia, Awasilisha Hotuba ya Bajeti yenye QR Code mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania!

Watangazaji wa Tanzania katika ubora wenu wa kusifia na kuabudu, njia pekee ya wewe watoto kwenda Chooni ni hii?
 
Ni aibu kubwa sn kwa Paschal
 
Mkuu Pascal, wewe ni wa kusifia WR code kweli? Kabisa unaanzisha uzi kusifia QR code badala ya kujadili yaliyomo ndani ya bajet?

This is a new low for you!
 
Uchawa ni adui mkubwa wa Taifa kwasasa, umeme unakatika Mara kwa Mara, ufisadi umetawala, mtu anaenda kumpima waziri kwa QR code.
 
Hii QR code itamsaidiaje kujibu report ya CAG?
 
Mkuu kuwa makini sana unajishusha hadhi kwa mambo ya ajabu sana,usitufanye wabongo wajinga kiwango hiki.
 
yaani P usomi wako wote huo, umachangamyikiwa na QR -Code , hiyo QR Code , imepunguza gharama za unit 1 ya umeme !?,

P , tuombe radhi mkuu. Kama uliteleza Basi tutakuelewa. lasivyo sitakuamini Tena !!
 
Pascal umeyakanyagaa!! Ngoja walinda legacy waje!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…